DADA KAMA UNATEMBEA NA MUME WA MTU.. INAKUHUSU....

0



♥ Yupo kwako akitafuta sex.. Tu .. Na kupunguzs stess zake.. Kwa hiyo utatumika kisha unawekwa kando

♥Kama ameweza kumsaliti mke wake.. Asilimia 100%haupo peke yako pia... Anawengine wengi anaowadanganya kama wewe

♥Ni kweli utaenda naye sehemu nzuri kutembea.. Lakini mwisho wa siku atarudi kwa mke na watoto wake... Na si kwako

♥Hata ukipata mimba hawezi kukuoa zaidi sana utaishiwa kufichwa na mwanao ..  Watoto anawofahamu na kujivunia.. Wako watafichwa hadi mwisho

♥Angekuwa hampendi mke wake asingemuoa... Anampenda mwisho wa yote atarudi tu... Unajusumbua

♥Usitolee macho mali.. Ni zake na watoto wake

DADA ZANGU NI VIZURI KAMA MKIYAFAHAMU HAYA..!

👉 Mwili wako sio Maonesho, kila mwanaume auone.

👉 Mwili wako sio Mdoli kila mwanaume Auchezee.

👉 Mwili wako sio dampo, upokee kila uchafu wa mwanaume.

👉 Mwili wako sio Mali ya umma kila mwanaume akutumie.

👉 Mwili wako sio kiburudisho, kila mwanaume Ajiridhishe.

👉 Mwili wako sio pazia la Sebuleni, kila mwanaume Akufunue.

👉 Mwili wako sio karanga za kutembezwa mtaani kila mwanaume
Akuonje Utamu 
🔹 Mwili wako ni wa Thamani sana. Mwili wako ndio utu wako.

🔹 Ebu Tunza Mwili wako nao Ukutunze. Uheshimu Mwili wako nao Utakuheshimisha.

🔹 Si kila mtu wa kuushika Mwili wako. Usitumie Mwili wako kama kitega uchumi, Usitumie Mwili wako kama dhamana ya kupata vile unavyohitaji.

🔹 Usitumie Mwili wako kama Njia ya kupata Mume Atakayekuoa. Kama Mungu amepanga Uolewe utaolewa tu
dada yangu hata bila ya kufunua Sketi yako. Muamini Mungu Yeye ndiye aliyeshikilia maisha yako.

🔹 Kuna mtu mmoja tu anayestahili kuugusa Mwili wako, kuuona Mwili wako, kuujua Uzuri wako.. Msubiri, Usiwe na Haraka, Mungu atamleta kwako. Endelea Kusubiri.

🔹 JITUNZE, JITHAMINI, JIKUBALI NA JIAMINI..! 

SHARE NA WENGINE

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top