Ni unafiki kusema Mama yako ndiyo kila kitu wakati humheshimu Mama wa watoto wako

0

Kama unamuamini sana Mama yako unatakiwa kukumbuka kuwa ni mke/alikua mke wa Baba yako, inawezekana Baba yako hakuwahi kumuamini lakini kwako ni mwanamke muhimu sana. Lakini kama humuamini mke wako kumbuka kuwa ni Mama/atakua Mama wa watoto wako na wanao watakuja kumuamini kama unavyomuamini Mama yako leo.

Hivyo kama una imani ya kweli na Mama yako kuwa anakupenda na hawezi kukufanyia baya lolote, basi unapaswa kumuamini mke wako na kuamini kua anawaenda/atawapenda wanao na hawezi kuwafanyia baya lolote. Huwezi kusema unampenda Mama yako na kumshirikisha katika kila kitu unachofanya wakati humpendi mkeo na humshirikishi kwa chochote.

Kumbuka unapoamua kuanza familia huishi kwaajili ya leo bali ya kesho pia. Kwa maana hiyo ili kesho ya wanao iwe salama ni lazima Mama yao awe salama, kwani mwisho wa siku huyo mwanamke unayemuita mkeo leo, uwe unampenda au humpendi, uwe unamjali au humjali ndiye atakua mwanadamu muhimu kuliko wanadamu wote kwa watoto wakom mtunze!

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

JIUNGE NA IDAWA MEDIA SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Telegram na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka IDAWA TV Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube & Jiunge WhatsApp 

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top