KATIBU WA CCM AMSHANGAA MNYIKA!

0

 


Mnataka demokrasia, utawala wa sheria na haki, halafu muda huo huo mnamtaka Rais aingilie mahakama akiuke katiba na Sheria za Nchi kwa Maslahi yenu hili halikubaliki kabisa.

 Serikali ya  Rais Samia itasimamia katiba, sheria, haki na usawa wakati wote bila aibu  wala  kuyumbishwa,  kufanya hivyo ndio chachu ya amani na utulivu nchini," 


Matamshi hayo yametamkwa leo na katibu  wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu alipokuwa akitolea ufafanuzi  kauli iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika kuwa Tanzania iko katika mapambano ya demokrasia ambapo alisema si ajabu na wala si kosa kwa polisi kumkamata kiongozi yeyote  wa kisiasa au wa kiserikali  ikiwa wataona kuna haja ya kufanya hivyo.

Hii ndio kauli ambayo Shaka ameitumia kuijibu!.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top