NAMNA YA KUWEKA WASIFU WAKO KATIKA MITANDAO YA KIJAMII!

0

 


●Unapotengeneza BIO kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram n.k... ni busara kuepuka kuweka lundo la madegree yako kwenye *bio* . Badala yake tumia LinkedIn kunadi hayo madegree yako maana ndio kazi yake kukuuza kwa waajiri. Epuka kuintimidate watu utaonekana hujiamini.


●Sababu mfano Twitter haikuwa designed kunadi madegree bali kilichopo kwenye fikra zako. The same as instagram.  I think a simple biography wont do any harm ila kutaja madegree yote kwenye bio ni sign of intimidation people wont like to interact with a person who is intimidating them.


●Otherwise its better to add a link of your LinkedIn account rather than mentioning all your degrees kwenye biography


●Au badala ya bachelor of pharmaceutical bla bla bla just put pharmacist... I think it explains more about your profession than kutaja madegree yote ya Pharmacy uliyosoma

Ahsante kwa Leo tuishie hapa karibu tens katika Uzi ujao!.


Imeandaliwa NA Cylas wa kwanza.





Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)
Youtube Channel Image
Henrick Idawa Subscribe To watch How to Earn Money

 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top