UKATILI:MWILI WA MWANAMKE MJAMZITO WAKUTWA UMEKATWA VIPANDE VIPANDE.

0

 


Mtoto wa kike wa Manju aliyekuwa mjamzito alidaiwa kuuawa kutokana na suala la mahari kutoka kwa familia ya muwe wake.

Inadaiwa kwamba baada ya mauaji hayo , mwili wake ulikatwa vipande vipande na baadaye kuuchomwa moto.

Familia ya Kajal inadai kwamba mwili wake ulipatikana katika uwanja ulio karibu na nyumbani kwao na ulikuwa katika hali mbaya ,na vipande hivyo vilikusanywa na kutiwa katika mifuko.

Na sasa kuna kesi mahakamani iliowasilishwa tarehe 20 Julai lakini polisi hawajamkamata hata mshukiwa mmoja

Read more>>>.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 


 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top