WANANCHI LUDEWA WADAI WAMECHOKA KUSUBILI AHADI

0

 


Licha ya serikali kueleza kuwa uchimbaji wa chuma katika migodi ya liganga kuwa karibu kuanza wananchi wa vijiji vya ani na mundidi wamesema kuwa wanasubiri kwa hamu kwani wamechoshwa na ahadi za muda mrefu pamoja na kuomba serikali kuwalipa fidia zaidi ya bilioni 11 Hata hivyo mbunge wa jimbo hilo joseph kamonga amesema kuwa atamualika waziri wa viwanda kufika na kuzungumza na wananchi wa vijiji vinavyozunguka mgodi wa chuma

Tazama kilio chao kwa Mbunge.



Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 

 

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top