WAZIRI MKUU: CHANJO IPO, ANAYETAKA AKACHANJWE

0


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kwa miaka miwili Waislamu wameshindwa kwenda Kuhiji kwa kuwa walioruhusiwa ni wanaotoka kwenye nchi zinazofuata taratibu zote za kudhibiti maambukizi

Amesema baadhi ya Wafanyabiashara na wenye ndugu nje ya nchi wamekuwa wakipata changamoto ya kuwatembelea kwa kuwa nchi zinataka watu waliochanjwa

Waziri Mkuu amesema kwasababu hiyo nchi imeleta chanjo ili kila mwenye uhitaji aweze kuchoma na apate huduma nje ya nchi ikiwemo Kuhiji

Bofya kutazama akitangaza hill.





Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 

 

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top