Breaking News: KITUO CHA KUPOKEA UMEME MOROGORO KINAUNGUA MOTO

0

 


Taarifa tulizozipokea hivi punde ni kuwa.

Ofisi za Kituo kikubwa cha kupokea na kusambaza umeme katika wilaya za mkoa wa Morogoro na mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Kilimanjaro zimeteketea kwa moto Msamvu, Morogoro muda huu.

 Kufuatia ajali ya moto katika jengo la kituo cha kupoozea na kusambaza umeme cha Msamvu kumesababisha mji mzima wa Morogoro kukosa Nishati ya hiyo. 

Taarifa zaidi tutakulea hivi punde....

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top