DR.SHEIN APATA MSIBA,RAIS MWINYI ATUMA SALAM ZA POLE!

0



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa salamu za pole kwa Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Awamu ya Saba, Dk. Ali Mohamed Shein kufuatia kifo cha Kaka yake Mzee Shein Mohamed Shein kilichotokea jana (Novemba 14,2021).


Katika salamu hizo za pole, Rais Dk. Mwinyi ameeleza kusikitishwa kwake na kifo hicho  na kumtakia pole na ustahamilivu Rais Mstaafu Dk. Shein na Familia yake katika kipindi hiki kigumu cha msiba.

SOMA HII; Kijana auawa kwa kuchepuka na mpenzi Wa jirani yake

Rais Dk. Mwinyi na Familia yake wamemuomba  Mwenyezi Mungu amjaalie Marehemu Mzee Shein Mohamed Shein amlaze mahala pema peponi, Amin.


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

JIUNGE NA IDAWA MEDIA SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Telegram na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka IDAWA TV Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube & Jiunge WhatsApp 

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top