GOODNEWS; TAARIFA HII IKUFIKIE KUTOKA WONDER KIDS POPOTE PALE ULIPO.

0
KARIBU WONDER KIDS-Pre & Primary School.
PICHA ZAIDI TAZAMA CHINI👇👇

Shule ya WONDER KIDS inawatangazia wazazi na walezi nafasi za masomo kwa mwaka wa Masomo 2022 kwa wanafunzi wa Awali na Elimu ya Msingi,Kwa wanafunzi wapya/wanaohitaji kujiunga au kuhamia kutoka shule nyingine.

WONDER KIDS;Tuna mazingira mazuri kwa Mwanao kutimiza ndoto zake za kielimu,ikiwemo vyumba vya kutosha vya madarasa,Viwanja vya michezo ili kuendelea kukuza vipaji vyao,Walimu wakutosha kuhakikisha mwanao anatimiza ndoto za Kielimu,Usafiri ni uhakika kwa wanafunzi wa Kutwa!.

WONDER KIDS;Tumekuwa na matokeo mazuri kwa wahitimu wa Darasa la Saba Mfano mwaka 2021.
  1. Kiwilaya imekuwa nafasi 1 kati ya shule 59
  2. Kimkoa imekuwa nafasi 1 kati ya shule 272
  3. Kitaifa imekuwa nafasi 56 kati ya Shule 5664.

JE! BADO UNA MASHAKA NASI,TUAMINI LEO KWA KUMLETA MTOTO WAKO KWETU.
WONDER KIDS;unaweza kuwasiliana nasi moja kwa moja kwa nambari
 0716 483 532.
0784 434 751
0779 729 307.
Email.wonderk2017@gmail.com

WONDER KIDS;Tupo Ruangwa mjini mkoani Lindi karibu na Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Ruangwa.
WONDER KIDS; Tunasema 'TAALUMA BORA,HUDUMA ZA WATOTO NA MALEZI BORA'.
Nyote mnakaribishwa!.Tazama Baadhi ya Picha.
Baadhi ya wanafunzi wa WONDER KIDS walipotembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Dodoma.

Wanafunzi wa WONDER KIDS wakiwa nje ya Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma katika Picha ya Pamoja

Baadhi ya wanafunzi wakiwa katika Picha ya kukata Keki katika moja ya sherehe iliyofanyika Shuleni Hapa

Uwanja wa Mpira wa WONDER KIDS pamoja na Majengo kwa mbali yakionekana kwa Uzuri kabisa

Picha ya Baadhi ya Wanafunzi na walimu

Moja ya Wanafunzi wa Darasa Moja wakiwa katika Masomo Darasani na Mwalimu akifuatilia kwa ukaribu

Unaweza kufuatilia Mengi na Picha za Matukio Mbalimbali kupitia Ukurasa wetu wa Instagram wa www.instagram.com/wonderkids

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 

 

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top