JINSI YA KUWEKA HELA KWA NJIA YA TIGOPESA (USSD)

0


  1. Piga *150*01#
  2. Chagua namba 4(kulipa bili)
  3. Chagua namba 3(Ingiza namba ya kampuni)
  4. Ingiza namba ya kampuni 222777
  5. Ingiza namba yako ya simu(Namba yako ya kumbukumbu)
  6. Ingiza kiasi
  7. Ingiza namba yako ya siri
  8. Thibitisha muamala wako
  9. Muamala wako utakuwa umekamilika kama bado wasiliana na huduma kwa wateja

JINSI YA KUWEKA HELA KWA NJIA YA TOVUTI KWA TIGOPESA

  1. Ingia kwenye tovuti yetu betx.co.tz
  2. Nenda kwenye kona juu upande wako wa kulia
  3. Bonyeza kwenye ingia
  4. Ingiza namba yako ya simu bila kuanza na sifuri mfano 713123456
  5. Ingiza PIN au nywila
  6. Bonyeza kialama cha mtu upande wako wa kulia juu
  7. Chagua kuweka pesa
  8. Bonyeza alama ya tigopesa
  9. Ingiza kiasi kuanzia 1,000 mpaka kiwango cha mwisho ambacho ni 300,000
  10. Utapokea ujumbe kutoka tigopesa uingize namba yako ya siri
  11. Ingiza namba yako ya siri
  12. Utapokea ujumbe kutoka tigo wa muamala wako
  13. Akaunti yako ya Betx itakuwa tayari na pesa kama kuna tatizo utawasiliana na huduma kwa wateja

JINSI YA KUTOA PESA KWENYE MTANDAO KWA TIGOPESA

  1. Nenda kwenye tovuti ya website betx.co.tz
  2. Nenda kwenye kona ya juu kulia
  3. Bonyeza kitufe cha ingia kwenye “INGIA”
  4. Ingiza namba zako 9 za namba yako ya simu mfano. 714123456
  5. Ingiza neno la siri/PIN
  6. Bonyeza alama ya mtu juu upande wako wa kulia kwenye kona
  7. Chagua kutoa pesa
  8. Bonyeza nembo ya Tigopesa
  9. Ingiza kiasi cha chini 1,000 mpaka cha juu 300,000
  10. Utapokea ujumbe kutoka tigo kuingiza namba yako ya siri ya Tigopesa
  11. Ingiza namba yako ya siri ya Tigopesa/TIGOPESA PIN
  12. Utapokea meseji kutoka Vodacom ya muamala wako
  13. Akaunti yako ya betx itakuwa imeweka pesa kwenye namba yako kama bado huduma kwa wateja ipo kusaidia
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 

 

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top