MWANDISHI WA HABARI AFARIKI AACHA KICHANGA!.

0

 
Aliyekuwa mwanahabari wa runinga K24 Naomi Njenga alifariki dunia Jumamosi Novemba 13 saa chache baada ya kujifungua mtoto wa kiume.

Inaarifiwa Naomi alijifungua mtoto huyo Ijumaa jioni kisha akapata matatizo yaliyotokana na kujifungua.

SOMA HII: Mke atuhumiwa kuchoma nyumba baada ya kutengana na mkewe!

Taarifa kutoka katika mtandao Wa  TUKO.co.ke kuwa mtoto aliyejifungua wa kiume yuko salama na buheri wa afya.

Soma zaidi>>>>

SOMA HII; Kijana auawa kwa kuchepuka na mpenzi Wa jirani yake

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 

 

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top