KUYUMBA KIUCHUMI CHANZO CHA WANAUME KUPIGWA NA WAKE ZAO -

0

Afisa Mtendaji Kata ya Kingachi, Issa Maringo katika kikao cha Kamati ya Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Ukatili wa Kijinsia ametaja kuyumba kiuchumi na kushindwa kuwajibika katika malezi ya familia kwa baadhi ya Wanaume ni moja ya sababu za kunyanyaswa na kufanyiwa vitendo vya kikatili na wake zao.
Picha kutoka maktaba!

Amesema kumekuwepo na vikundi vingi vya kuwezesha Wanawake kiuchumi hivyo kumiliki uchumi na kuwaacha Wanaume nyumbani. Hii imesababisha baadhi ya Wanaume kuwa walevi wa kupindukia na kuambulia vipigo kutoka kwa wake zao


Aidha, Erenia Kimaro (Mjumbe wa Kamati hiyo) alisema ipo haja kwa Serikali na Mashirika yanayotetea Wanawake, kuwatazama Wanaume na kuona namna ya kuwawezesha kiuchumi ili kuondokana na manyanyaso

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

JIUNGE NA IDAWA MEDIA SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Telegram na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka IDAWA TV Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube & Jiunge WhatsApp 

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top