WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA..."MIZIMU YATAJWA"

0

Katika hali isiyo ya kawaida Waandishi wa Habari kutoka vyombo vya habari mbalimbali Mkoani Arusha wametimuliwa kwa kupigwa na mawe ambayo hayajulikani yanapotokea katika kijiji cha Kiwawa kata ya Imbasei wilayani Arumeru Mkoani Arusha.

Picha kutoka Maktaba haihusiani na tukio hili

Inaelezwa kuwa waandishi hao wamekumbwa na masahibu hayo baada ya kufika kwenye eneo hilo kwa lengo la kufuatilia taharuki ya wananchi kupigwa kwa mawe yanayohisiwa kurushwa na Mizimu.


Katika tukio hilo Mwandishi wa GADI TV amejeruhiwa sehemu ya kichwani kwa kupigwa na jiwe huku mwandishi GLOBAL TV akijeruhiwa mkono wake wa kushoto.


Habari kutoka eneo la tukio zinasema nyumba kadhaa zimefanyiwa uharibifu ikiwemo mabati kutobolewa na vioo vya madirisha kuvunjwa.

Chanzo; Malunde Blog
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)
Youtube Channel Image
Henrick Idawa Subscribe To watch How to Earn Money

 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top