UKATILI MTOTO AUAWA KWA KUCHINJWA MAMA AKIWA MSIBANI,DC ATAJA USHIRIKINA

0

 katika hali ya kusikitisha mtoto wa miaka miwili Nkiya Thomas Bulandash amekutwa amechinjwa na watu wasiojulikana kutupwa kwenye samba la uwele karibu na nyumbani kwao.



Tukio hilo limetokea katika kijiji cha Nyamigogwa kata ya Shabaka Wilaya ya Nyang'wale mkoani Geita ambapo mkuu wa wilaya hiyo amelaani vikali tukio hilo na kusema linahusishwa na imani za kishirikina.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)
Youtube Channel Image
Henrick Idawa Subscribe To watch How to Earn Money

 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top