KANISA LATOA VYETI VYA UBIKRA KWA MABINTI BAADA YA KUWAPIMA

0

 

Kanisa moja la Afrika Kusini linafanya vipimo vya ubikira kwa waumini wa kike wa kanisa hilo wenye umri wa miaka 18 na kuendelea.

Inaripotiwa kwamba Kanisa la Nazareth Baptist mjini Durban, Afrika Kusini lilianza mazoezi hayo ili kuwahimiza wanawake wachanga kanisani kutunza ubikira wao.

Inasemekana kuwa ni zoezi la kila mwaka ambalo hufanyika katikati ya mwaka na 'Cheti cha Ubikira' hutolewa kwa wale wanaofaulu mtihani na alama nyeupe inapakwa kwenye vipaji vyao.

Vyeti hivyo ni halali kwa mwaka mmoja tu na wanawake wanatarajiwa kufanya kipimo kingine katika mwaka unaofuata.

Kipimo cha ubikira mwaka wa 2022/2023 kilifanywa na kanisa hilo siku ya Jumanne, Julai 6,2022 na wanawake waliofaulu walipewa cheti kama kawaida.
Chanzo Tuko News
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)
Youtube Channel Image
Henrick Idawa Subscribe To watch How to Earn Money

 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top