DIWANI MBARONI KWA KUKAMATWA NA VIUATILIFU VYA SERIKALI

0

 Watu ishirini akiwemo diwani wa kata ya Lulindi Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara wamekamatwa na jeshi la polisi Mkoani hapa kwa kukutwa na Viuatilifu mbalimbali vyenye ruzuku ya serikali kinyume cha Sheria.



Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara ACP Isack Mishi amewaambia waandishi wa Habari kuwa watuhumiwa hao wamekamatwa Wilayani Masasi katika oparesheni ambayo imefanywa na polisi Agosti 16 .
*Mtandaoni kuna #fursa nyingi sana*
Je umewahi kujiuliza lile #bundle lako ambalo unijiunga kila siku au wiki na hata mwezi limekunufaisha vipi? Au ndo vile unaingia mtandaoni kusapoti ndoto na maono ya wengine🌝? Basi badili mtazamo wako Leo anza kutimiza ndoto zako Leo
Jisajili na fursa <<hapa>>>>
"Kufuatia taarifa fiche za kuwepo kwa Viuatilifu hivyo bila utaratibu ndipo jeshi la polisi kwa kushirikiana na mamlaka za Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) na mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu (TPHPA) zikaanza oparesheni ya pamoja na kuwakamata watuhumiwa 20," amesema.
Amesema uchunguzi wa awali umebainisha kuwa wapo pia wafanyabiashara wanaowarubuni wakulima kuwauzia Viuatilifu hivyo kwa bei ya chini Kisha wao kwenda kuviuza kwa bei ya juu zaidi katika maduka yao.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)
Youtube Channel Image
Henrick Idawa Subscribe To watch How to Earn Money

 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top