MABARAZA YA MIJI YASISITIZWA KUKAZA MSULI USIMAMIZI WA RASILIMALI FEDHA ZA MIRADI INAYOANZISHWA.

Hassan Msellem
0

 Kamati za kusimamia ofisi za viongozi wakuu imesisitiza kwa mabaraza ya miji wanasimia vyema rasilimali fedha za miradi wanayoiyanzisha ili iweze kukamilika kwa wakati  na kuleta tija kwa wananchi.









Wajumbe wa kamati hiyo chini ya mwenyekiti wake Machano Othman Said, ametoa ushauri huo baada ya kukagua miradi ya ujenzi wa milango ya maduka  katika baraza la mji  Chake Chake na kutembelea soko la  samaki mtemani.

Wamesema ni wajibu wa mabaraza  hayo kujipanga vizuri kuhakikisha  yanasimamia vyema  fedha za umma katika kutekeleza miradi kwa kiwango cha ubora  ili kuweza kudumisha kwa muda mrefu  na kutatua matatizo  ya kibiashara.


Mkurugenzi wa Baraza la Mji Chake Chake Ndg. Maulid Mwalimu Ali.

ULITAZAMAA VIDEO HII YA ORODHA YA WALIOTUMBULIWA NA RAIS SAMIIA? U RC

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 


 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top