TAZAMA JEZI MPYA ZA SIMBA SC...UNYAMA SANA!

0

Klabu ya Simba imetambulisha rasmi jezi zake kwa ajili ya msimu ujao ikiwa ni siku kadhaa kuelekea kwenye kilele cha wiki ya Simba.


Jezi hizo zinazosambazwa na kampuni ya Vunjabei zimeanza kuuzwa rasmi leo sehemu mbalimbali nchini.

𝐔𝐍𝐘𝐀𝐌𝐀 𝐒𝐀𝐍𝐀  AU UNYAMA KIDOGO?

Jezi zinapatikana kwa Tsh. 35,000 tu kwenye duka la Vunja Bei Sinza Madukani jijini Dar es salaam.





 Jezi za Simba SC msimu wa 2022/23. Mtoko wa Watanzania wote! 
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)
Youtube Channel Image
Henrick Idawa Subscribe To watch How to Earn Money

 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top