Aisha Ramadhani (Marehemu)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia Peter Mwakiposile kwa tuhuma za kumuua mkewe Aisha Ramadhani mkazi wa Chidachi kwa kupigwa hadi kufa, kwa kosa la kuchelewa kurudi nyumbani akitafuta fedha za Marejesho la kikundi cha kikoba.
*AMKENI AMKENI AMKENI KUMEKUCHA*🐓🐓
ASIEFANYA KAZI NA ASILE💪💪💪💪1:washa simu yako2:washa data ya simu yako3:Fungua /Jiunge na KALYNDA APP au JIUNGE HAPA>>yako then log in katika account yako.
4:Bofya neno HOME kisha VIP 1/2/3 alafu Bofya buy kisha like na submit mara 20 bidhaa🙏**ukimaliza
5: Bofya Personal au log out kisha log in Angalia faida yako!Kisha tabasamu endelea kualika watu. ✅✅✅ JISAJILI KALYNDA>> 👊🥰
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma ACP Martin Otieno ameeleza kuwa mtuhumiwa yupo chini ya ulinzi wakati akisubiri taratibu za kufikishwa mahakamani huku mwili wa marehemu Aisha Ramadhani ukiwa umehifadhiwa chumba cha kuhifadhia maiti kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma kwa taratibu za mazishi.
Mama wa marehemu Aisha Ramadhani amesimulia kuwa alipigiwa simu na mkwe wake Peter Mwakiposile wakati akitekeleza unyama huo ambapo ilisikika sauti ya marehemu ikiomba msaada kitendo ambacho kilipuuzwa na mumewe huku watoto wa marehemu wakisema mama yao aliondoka nyumbani saa 12 jioni na kurudi saa 2 usiku baada ya kwenda kuomba fedha kwa rafiki yake kwa ajili ya rejesho ndipo baba yao akaanza kumpiga sehemu mbalimbali za mwili wake.