Kutoka nchini Kenya mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Kaunti Ndogo ya Marakwet Magharibi nchini Kenya ameingia mitini baada ya kuchoma nyumba ya familia kutokana na kutofautiana na baba yake kuhusu pesa za matumizi ya shuleni ambazo alimpatia.
![]() |
Picha kutoka Maktaba |
HIVI ULITAZAMA VIDEO HII KAMA BADO BOFYA KUTAZAMA