UNYAMA!!! MTOTO (15) ALIYEOLEWA APIGWA NA MUMEWE AKINING'INIZWA MTINI MIGUU JUU

0

 

Mesoni Kashiro (15) Mkazi wa Kijiji Cha Gelailumbwa kata ya Gelailumbwa Tarafa ya Ketumbeine wilayani Longido Mkoani Arusha ameshambuliwa na mume wake Namendea Lesiria kwa kushirikiana na Rafiki yake ambaye jina halijafahamika kwa kosa la kumwaga dawa ya mfugo aina ya mbuzi.

"Huu ni ukatili kabisa kwanza ameolewa akiwa na umri mdogo ,wamempiga wakiwa wamemfunga kamba na kumtundika kwenye miti" alidai Chisunga

Hayo yameelezwa na Ofisa Ustawi wa Jamii wilayani hapa Atunagile Chisunga akieleza kuwa watuhumiwa wapo kituo Cha Polisi Longido na hapo kesho wanatarajia kufikishwa mahakamani huku akisistiza mama huyo yupo kituo Cha afya Longido akiendelea kupatiwa  matibabu zaidi.

Chanzo - Msumba News blog
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

JIUNGE NA IDAWA MEDIA SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Telegram na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka IDAWA TV Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube & Jiunge WhatsApp 

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top