JELA KWA KUMBAKA MTOTO WAKE WA KAMBO

0

 

Mzee wa miaka 64, Pascal Anatory ambaye mkazi wa kijiji cha Kinyariri kata ya Buhemba Wilaya ya Butiama mkoani Mara, amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mtoto wake wa kambo mwenye umri wa 14.


Mtoto huyo ambaye ni mwanafunzi wa darasa la sita katika moja ya shule ya msingi wilayani humo, anadai kufanyiwa vitendo hivyo mara tatu baada ya kufariki kwa mama yake ambaye alikuwa ni mke wa Pascal Anatory.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top