MCHUNGAJI AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA KUMBAKA BINTIYE

0

 

 Mchungaji wa Kanisa la Kilokole lililopo Kisesa, Nurdin Abdallah, amesomewa shtaka katika Mahakama ya Wilaya ya Magu akidaiwa Kumbaka Mtoto wake wa miaka Sita (6).


Mchungaji huyo alimchukua Mtoto kwa mama yake baada ya kutengana Julai 2022, ambapo mama wa mtoto alihamia Wilaya ya Bunda Mkoani Mara, Ambapo Majirani waligundua Ukatili huo na kumpeleka Mtoto Ustawi wa Jamii.

Mtuhumiwa hakufika Mahakamani ikielezwa kuwa ni Mgonjwa hawezi kutembea.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 

 

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top