SPIKA TULIA; BUNGE LITAENDELEA KUSEMA NDIO

0


Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amesema kuwa bunge litaendelea kuiunga mkono Serikali katika utekelezaji wa miradi mikubwa, ambayo inakuza uchumi na kuboresha utoaji wa huduma muhimu kwa wananchi. 


Amesema hayo wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato mkoani Dodoma. 


Amesisitiza kuwa Bunge litaendelea kusema 'ndio' kwenye miradi hiyo, na hivyo wananchi waelewe kuwa wanaposema 'ndio' wanasemea miradi mikubwa ya kiuchumi na kijamii. 


Pia, amesema bunge litakosoa, kushawishi na kushauri Serikali pale inapobidi.

TAZAMA VIDEO HII PIA INA FURSA NZURI 


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

JIUNGE NA IDAWA MEDIA SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Telegram na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka IDAWA TV Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube & Jiunge WhatsApp 

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top