WANANCHI WASUSIA MSIBA WA MTENDAJI WAO

0

 

Wananchi wa mtaa wa Kabuyobo uliopo kata ya Kasamwa mjini Geita wamesusia kushiriki msiba wa Afisa mtendaji wa kata ya Kasamwa aliyekuwa akitambulika kwa jina la Japhet Maganga kwa madai kwamba enzi za uhai wake alikuwa hashiriki misiba.


Daudi Makungu ni Mwenyekiti wa maafa katika eneo hilo amekiri kuwazuia wananchi kutoshiriki shughuli za msiba huo kutokana na marehemu kutoshirikiana na Wananchi kwenye misiba kwa kipindi cha miaka mitatu.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 

 

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top