ALIYEOLEWA NA MME WA RAFIKI YAKE NAYE APIGWA CHINI

0

 

Pete za ndoa

Mwanamke mmoja nchini Nigeria aliyemchukua mume wa rafiki yake na kuolewa yeye ameachwa na mwanaume huyo mara baada ya kujifungua.

Kupitia ukurasa wa Twitter wa Ufuoma umeeleza kwamba mwanamke huyo huyo baada ya kuachwa kwa talaka mara baada ya kujifungua amezindua kitabu kinachoelezea masaibu aliyokutana nayo ndani ya ndoa na mwanaume huyo huku yeye akijiona mwanamke wa shoka.

"Huyu mwanamke aliolewa na mume wa rafiki yake na baadaye mwanaume huyo alimtelekeza baada tu ya kujifungua na kumpa talaka na sasa anazindua kitabu cha maisha yake kuonesha kwamba ni mwanamke shupavu," amesimulia Ufuoma.

NAMNA YA KUJUA PLATFORM ZA UTAPELI 
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 

 

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top