JAMAA AJIFANYA MREMBO ILI KUWACHUNA WANAUME WENZAKE...

0

Dunia ina mengi hasa katika utafutaji kila mmoja kwa sasa anatafuta njia ya kujiingizia kipato kwa namna mbalimbali lakini hiii hatari na nusu!


Jamaa mmoja ameamua kujibadilisha muonekano na kuonekana kama mwanamke kasha kuanza kuwapiga wanaume pesa zao waliokuwa wakimtongoza.

Kwa mujibu wa ripoti, jamaa huyo wa makamo amekula nauli za wengi maarufu kama 'kukula fare' huku akijifanya kuwa mwanamke.

Huwa anajipodoa kweli kweli kiasi kwamba wanaopenda kujiburudisha kwenye vilabu huwa hawajui kwamba ni dume hatari kama wao!.

Kwenye uso ni wanja ambao umepakwa kwa miondoko kweli kweli huku midomo yake ikipewa triti kweli na kuwa kama mwanadada.

Huku wanaume wengi wakipenda kuonja tunda wanapokutana vilabuni, jamaa huyo hujifanya kipusa mwenye tayari kuwapa wenye kiu penzi la kupanda na kushuka.

Aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko ni mmoja aliyevutiwa na simulizi na 'mrembo' huyo akisema wanaume wengi wamekuwa wakiambulia patupu.

Sasa bwana siku za mwizi na mdanganyifu zikamfika baada ya majaa kuamua kumripoti polisi na ikabainika kuwa alikuwa mwanaume hakuwa mrembo mwenye asali tamu.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 

 

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top