Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Simoni Maigwa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo Alhamisi Novemba 3 ambapo amesema mwili wa Mwenyekiti huyo ulikutwa juu ya mti na kwamba wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo ili kubaini chanzo chake.
Soma zaidi <<HAPA>>
JE! UNAJUA HII FURSA YA AGI NA FURSA ZAKE,TAZAMA VIDEO HII