ASKOFU ALIYEPOTEA MWILI WAKE WAKUTWA UKIELEA ZIWANI

0

Jeshi la polisi mkoa wa Mwanza limethibitisha kupatikana kwa mwili wa askofu mstaafu wa kanisa la Angilikana Diocese ya Victoria Nyanza Boniface William, anayedaiwa kupotea tangu Novemba 28/2022 na mwili wake kukutwa ukielea ndani ya maji kando ya ziwa Victoria.

Kamanda ya Polisi mkoa wa Mwanza Wilbroad Mutafungwa amesema Askofu huyo aliaga familia yake na kuelekea wilayani Sengerema kwa ajili ya kupokea malipo ya mwisho ya shilingi milioni 2 na laki 5 baada ya kuuza eneo lake pamoja na nyumba kwa kanisa la KKKT Sengerema na hata hivyo hakuweza kulipwa fedha hizo na wanunuzi walimtaka aende na nyaraka za umiliki baada ya hapo hakurudi nyumbani

Kamanda Mutafungwa amesema uchunguzi wa tukio hilobado unaendelea.

Chanzo - EATV

LEO NAKUPA HII TENGENEZA PESA MTANDAONI KWA NJIA HII
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)
Youtube Channel Image
Henrick Idawa Subscribe To watch How to Earn Money

 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top