MTOTO MWINGINE WA WIKI TATU AIBWA SONGWE

0

 

Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Plaxeda Msanganzila (28) kwa tuhuma za kuiba mtoto wa wiki tatu.

Inadaiwa kuwa mtuhumiwa alifanya tukio hilo akiwa na lengo la kumfurahisha mpenzi wake baada ya kutafuta mtoto kwa miaka 9 bila mafanikio.

Tukio hilo limetokea Disemba 12 mwaka huu katika Mji wa Mlowo, ambapo mtuhumiwa huyo alimchukua mtoto kwa mama yake na kuondoka naye, akidai kuwa anakwenda kununua maandazi, huku akimuacha mama wa mtoto katika kibanda cha chips.

KAMA HUJATAZAMA VIDEO HII BOFYA SASA
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top