Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Plaxeda Msanganzila (28) kwa tuhuma za kuiba mtoto wa wiki tatu.
Inadaiwa kuwa mtuhumiwa alifanya tukio hilo akiwa na lengo la kumfurahisha mpenzi wake baada ya kutafuta mtoto kwa miaka 9 bila mafanikio.