MAMA AMZIKA MWANAE WA WIKI MBILI ILI AENDE KUDANGA

0

 

Mtoto mwenye umri wa wiki mbili amefariki dunia baada ya mama yake aliyefahamika kwa jina la Oliva Meshack, mkazi wa Mtaa Buselesele katika mji mdogo wa Katoro wilaya ya Geita mkoani Geita kumzika akiwa hai.

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo akieleza kuwa Oliva alifanya kitendo hicho ili apate muda wa kwenda kujiuza.

Baada ya kupata taarifa hiyo Kamanda Safia amesema walifukua eneo kilipozikwa kichanga hicho na kukuta tayari amefariki.

Amesema binti huyo ambaye anashikiliwa na polisi mkoani humo alikuwa pia akiuza baa na aliona mtoto huyo angemzuia kuendelea na biashara yake haramu ya kujiuza.

USIPITWE NA DUNIA TAZAMA VIDEO HII 

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)
Youtube Channel Image
Henrick Idawa Subscribe To watch How to Earn Money

 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top