SULULU AKUTWA AMEFARIKI KWA NJAA

0

 Mtu mmoja aliyefamika kwa jina la Hamisi Sululu (68) mkazi wa mtaa wa Mpilipili Kusini wilayani Lindi amekutwa amefariki ndani ya nyumba yake alipokuwa anaishi Desemba 11,2022

Taarifa za madaktari waliochunguza mwili huo zinasema marehemu huyo amefariki baada ya sukari kushuka kutokana na njaa kali kwani alikuwa akiishi peke yake na alikuwa anapata chakula kwa shida.

Jeshi la polisi wilayani humo limeruhusu ndugu kuendelea na maziko.
Chanzo; Mashujaa fm

SASA UNAWEZA KUBOFYA VIDEO HII KUTAZAMA KWA UNDANI ZAIDI
HIVI HII ULITAZAMA KAMA BADO BOFYA KUTAZAMA SASA

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)
Youtube Channel Image
Henrick Idawa Subscribe To watch How to Earn Money

 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top