WALINZI WATATU WAKUTWA WAMEUAWA KATIKA LINDO

0

 Walinzi watatu wa kampuni tofauti wamekutwa wameuawa katika sehemu zao za kazi usiku wa kuamkia Desemba 22,2022 katika mtaa wa Shilabela kata ya Buhalahala mjini Geita

Picha hii haihusiani na tukio halisi

Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa Shilabela Bw Fedrick Masalu amefika kwenye eneo la tukio na kuwataja walinzi hao waliouwawa kuwa ni Charles Shija ,Jumanne Shabani na Henry Selestine huku akiwaomba wananchi kuwa na utulivu katika kipindi hiki kigumu ambapo Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi zaidi wa tukio hilo.
Chanzo;
stormfmtz
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 


 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top