MKUU WA KANISA LA KKKT DR SHOO ATOA KAULI KUHUSU MCH KIMARO

0

 

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt Fredrick Shoo amesema suala la kupewa likizo ya siku 60 na kuondolewa kwenye Usharika wa Kijitonyama Mchungaji wa Usharika huo Dkt. Eliona Kimaro ameliona mtandaoni na kukiri kwamba uamuzi huo umefanyika katika ngazi ya Dayosisi ya Mashariki na Pwani


Dkt Shoo amesema taarifa hizo bado hazijatumwa kwake rasmi na amewaomba waumini kuendelea kuwa watulivu, "Niombe utulivu kwa washarika na wakristo ambao wamesikia habari hizo za uamuzi ambao umefikiwa na dayosisi yake, tambua kwamba dayosisi ina vyombo vyake vya maamuzi na bila shaka jambo lenyewe linaendelea kufanyiwa kazi na dayosisi husika"

KAMA HUKUTAZAMA VIDEO HII BOFYA SASA

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)
Youtube Channel Image
Henrick Idawa Subscribe To watch How to Earn Money

 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top