KWANINI NDOA YA DOKTA MWAKA IMEMGHARIMU Sheikh Mkuu DSM?

0

BAADA ya Januari 25, 2023 ndoa ya mtaalamu wa tiba mbadala, Juma Mwaka maarufu kama Dokta Mwaka na mkewe Queen Masanja kuvunjwa rasmi, ndoa hiyo imeendelea kutikisha zaidi huku Alhadi Mussa Salum akipoteza kazi


Ndoa hiyo ilivunjwa baada ya kikao cha Kamati ya Masheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam chini ya uenyekiti wa sheikh wa mkoa, Alhadi Mussa Salum kuketi kwa dharura na kuridhia maombi ya Queen kutaka apewe talaka.
TAZAMA VIDEO HII

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 

 

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top