TUNDU LISSU AELEZA SABABU ZA KUSHINDWA KUCHUKUA GARI YAKE POLISI

0

 

Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amefika kwenye ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, RPC Martin Otieno akitaka kuliangalia gari lake ambalo anasema alishambuliwa akiwa nalo.


Lissu amefika  Alhamisi, Februari 9, 2023, huku akisema kuwa alikuwa amewasiliana na RPC kwa ajili ya kwenda kuliona gari lake hilo ambalo hata hiivyo bado hajafanikiwa kuliona akielekezwa kurudi wakati mwingine.

Hata hivyo, Lissu kwenye maelezo yake amebainisha kuwa ameelezwa kuwa RPC Otieno ameenda kwenye tukio la ajali ya basi kugongana na lori huko Kongwa mkoani Dodoma.

Lissu ameeleza kuwa ameambiwa arejee baadaye ili aweze kuonana na RPC Otieno ili aweze kupata utaratibu wa kuliona gari lake, pamoja na kujua namna ambavyo anaweza kukabidhiwa.

SPIKA WA BUNGE ATAKA MANENO YA MWIGULU YAFUTWE

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

JIUNGE NA IDAWA MEDIA SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Telegram na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka IDAWA TV Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube & Jiunge WhatsApp 

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top