Watu watatu akiwemo mama mjamzito wameuwawa katika kitongoji cha kilimahewa kata ya Ludete katika mji mdogo wa Katoro uliopo wilayani Geita Mkoani Geita huku wawili wakisadikiwa kuwa ni majambazi baada ya kuvamia usiku katika familia ya Msafiri Renatusi.
Tukio hilo limetokea majira ya saa mbili usku ambapo mama huyo mjamzito alietambulika kwa jina la Elinata Elias (27) ameuwawa kwa kuchinjwa shingo na kitu chenye ncha kali huku baba wa familia hiyo Msafiri Renatus akijeruhiwa vibaya.
TAZAMA FULL VIDEO YA TUKIO HILO LA UKATILI HAPA