WAZIRI NAPE ATOA SABABU KUKWAMA KWA MUSWADA WA HABARI KUWASILISHWA BUNGENI

0

Waziri wa habari Nape Nnauye amesema serikali imesikitishwa na taarifa iliyotolewa na Jukwaa la wahariri Tanzania (TEF) kuhusu kushindwa kuwasilishwa kwa muswada wa habari bungeni katika bunge la kumi wakati wao walitaraji huenda ungewasilishwa wakati huu bunge likiendelea.


Hata hivyo Nape Nnauye amesema Februari 10, 2023 Muswada wa Huduma ya Habari utawasilishwa bungeni na kusomwa kwa mara ya kwanza huku akiwaomba wadau wa habari kuaminiana.

Nape ametoa kauli hiyo Februari 9, 2023 alipokuwa akizungumza na waandishi wa havari jijini Dodoma.

TAZAMA VIDEO HII HAPA AKIZUNGUMZA WAZIRI NAPE

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top