BABA AKIRI KUMUUA MTOTO MLEMAVU USIKU na KUMZIKA KISA UGUMU wa MAISHA...

0

Mwanaume mmoja Aliye fahamika Kwa Majina ya Elias Bakumye(32)mkazi wa kijiji cha Chikobe kata ya Butundwe Wilaya na Mkoani Geita,anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kutuhuma za kumuua Mtoto wake (5) Mwenye ulemavu baada Ya Yeye na Mama wa mtoto huyo kutengena na Kuachiwa mtoto amlee.

Kamanda Wa Polisi wa Mkoa huo,Safia Jongo

Kamanda Wa Polisi wa Mkoa huo,Safia Jongo,amesema mtuhumiwa huyo amekili kuhusika na Mauaji hayo na Kusema chanzo kilicho pelekea kufanya tukio hilo ni kushindwa Malezi ya mtoto huyo Mwenye ulemavu aliyekuwa akihitaji kupewa huduma zote.

Amesema Mtuhumiwa aliongeza kwa Kusema baada Ya kutalakiana na mkewake Mke huyo aliondoka na kumwachia mtoto baada ya baba huyo kuona maisha yamekua Magumu a kaamua kumpeleka mtoto kwa Mama Yake baada Ya Kufika Huko mama alikataa mtoto na kumtaka baba huyo Arudi na Mtoto wake akamlee.
Imeelezwa Baba huyo baada ya Kukataliwa aliondoka na Mtoto wake kurudi Nyumbani Wakati wakiwa Njiani ndipo akatekeleza Tukio hilo na Kisha kumufukia mtoto wake.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 


 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top