Mchungaji awapigisha Push-ups waumini wake Kanisani

0

 

Hakuna kula ndimu na kununa katika kanisa la Neno Evangelism Center la Mchungaji James Ng'ang'a wakati wa ibada.


Mhubiri huyo anayezingirwa na utata, huwaburudisha waumini wake kila anapopanda kwenye mimbari. Video imeibuka ya pasta huyo na waumini wake wakiimba wimbo na kucheza densi kabla ya Ng'ang'a kuwaelekeza kondoo wake kuruka kama vyura na kupiga 'push-ups'. 


Ng'ang'a aliongoza waumini kufanya mazoezi huku muziki ukipiga kwa sauti ya juu. 


Kuanzia wapokezi wa wageni hadi wahuudmu wengine, kila mtu aliburudishwa na kupata muda wa kufanya mazoezi.


Video hiyo imezua hisia tofauti mtandaoni, huku wengi wakieleza hamu yao ya kuhudhuria ibada za Jumapili katika kanisa hilo lenye makao yake makuu CBD.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 


 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top