Mwanaume auawa kisha mwili wake kutekelezwa vilabu vya pombe

0

 Jeshi la polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya mwanaume ambaye hajatambulika,kasha mwili wake kutelekezwa pembezoni mwa kilabu cha pombe kilichopo mtaa wa misheni wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza


Mauaji hayo yanadaiwa kutokea usiku wa kuamkia 13 April 2023 ambapo mwili wake umekutwa na majeraha usoni na sehemu za siri zikiwa zimetobolewa.

Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza Wilbroad Mutafungwa amesema wanaoshikiliwa ni pamoja na mmiliki wa kilabu hicho cha pombe za kienyeji.
Mwili huo ulikuwa umehifadhiwa katika hospitali ya wilaya hiyo kwa ajili ya uchunguzi zaidi na utambuzi.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 


 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top