Rais samia afanya utenguzi tena wa Vigogo...Taarifa mpya kutoka Ikulu

0

 Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Shirika la Reli la Tanzania (TRC), Aidha, ametengua uteuzi wa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA), Mhandishi John Nzulule.


Kwa mujibu wa taarifa iliyosainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus  Jumapili Aprili 9, 2023 imeeleza kuwa Rais Samia amemtaka Katibu Mkuu Kiongozi kuwaelekeza Makatibu Wakuu wa Watendaji Wakuu kusoma ripoti hiyo, kujibu na kuzifanyia Kazi hoja zote.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 


 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top