Baba aua familia yake kisa Ugumu wa Maisha

0

 Watu wanne wa familia moja wamefariki dunia wilayani Kilosa mkoani Morogoro baada ya kuungua kwa moto usiku wa kuamkia  Mei 5, 2023.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro, ACP Alex Mkama amethibitisha kutokea kwa tukio hilo kusema uchunguzi wa awali umeonesha chanzo cha vifo hivyo ni baba kuichoma moto familia hiyo na yeye akiwemo.

Kwa mujibu wa majirani huenda hatua hiyo imesababishwa na ugumu wa maisha.
Waliokufa kwenye tukio hilo ni baba wa famlia hiyo, Amani malekela (72) na watoto wake Habibu Amani (10), Sadick Aman na Bahati Amani (5).
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 


 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top