Diwani alia na Ubovu wa barabara "Wananchi wanachanga fedha zao" TARURA Tuoneni basi

0

 Diwani wa kata ya ya Ikuwo wilayani Makete mkoani Njombe amesema kwa sasa wananchi wanalazimika kutumia gharama zao (kujichanga) ili kuifanyia matengenezo barabara ya Ikuwo - Nkenja ili ipitike kwa gari kwa kuwa imeharibika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.


Akizungumza kwenye kikao cha baraza la madiwani Mei 4,2023 Diwani huyo amesema kwa sasa barabara hiyo haipitiki kwa gari, hivyo kuiomba TARURA kuiangalia kwa ukaribu barabara hiyo ambayo inahitaji matengenezo

Diwani Mwasanga Amesema barabara hiyo ina umuhimu kwa kuwa wananchi huitumia kwa kusafirisha mazao na wao wenyewe wakiwemo wagonjwa wanaofuata huduma za kiafya katika hospitali ya wilaya ya Makete.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 


 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top