Watoto Mkoani Njombe wanajilea huku wazazi wao wakiwa kutafuta Mali

0

Baadhi ya wazazi mkoani Njombe wanadaiwa kuwatelekeza watoto wao wajilee huku wao wakitumia muda mwingi katika kutafuta mali hali inayodaiwa kuchangia malezi yasiyofa kwa watoto.

Afisa Maendeleo ya Jamii mkoa wa Njombe Elice Simonile akizungumza na mtandao huu katika mahojiano Maalum kuhusu siku ya Familia amesema kuwa Ikiwa Familia Zitazingatia mambo matatu ambayo ni Mawasiliano ndani ya familia,Malezi chanja na utoaji wa huduma kwa usawa utachangia kuwa na familia Imara.

Amesema kutokana na makongamano na mikutano waliyofanya kwa kukutana na wananchi maeneo mbalimbali Mkoani Njombe,wamebaini watoto wengi wanajilea wenyewe huku wazazi wao wakijikita kutafuta mali.

KWA UNDANI ZAIDI TAZAMA VIDEO HII.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 


 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top