Yanga Watangazwa Mabingwa Ligu kuu Tanzania 2022/2023

0

Hatimaye Yanga sc imefanikiwa kutetea tena taji lake la Ligu kuu Tanzania Bara TPL -2022/2023. Baada ya kuwalisha vyuma vinne Dodoma Jiji kwa mbili.


Huu ni ubingwa wake wa 29 tangu kuanzishwa kwake na ni baada ya ushindi wa leo 4-2 dhidi ya Dodoma Jiji na kufikisha pointi 74 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote.

Neno moja kwa Wananchi…
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

 


 

 




#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top